MAJALIWA AONGOZA MBIO ZA HAPA KAZI TU DODOMA HALF MARATHON
Posted by
Unknown
on
19:32:00
in
|

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza
mbio za Wabunge Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon zilizoanzia Bungeni
hadi uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Januari 30, 2016. Kushoyo kwake ni
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye na kushoto ni
Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson. Mwansasu.
Mmoja wa wapigapicha walioshiriki mbio za
Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon alilazimika kuomba msaada kwa askari
wa usalama barabarani Mjini Dodoma Januari 30, 2016..
Baadhi ya Washiriki wa mbio za Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon wakishiriki mmbio hizo mjini Dodoma Januari 30, 2016
Post a Comment