BREAKING NEWS

Friday, 4 March 2016

Waziri Jenista Mhagama Amteua Dr. Wangwe Kuwa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF ....Hata Hivyo Uteuzi Huo UMETENGULIWA Mpaka Utakapotangazwa Tena

                            


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe akifafanua jambo kwa wajumbe wa bodi wa shirika hilo (hawapo pichani ) kabla ya uteuzi huo kutenguliwa.

Masaa  kadhaa baada  ya  uteuzi huo, Waziri mhagama alitangaza  kutengua uteuzi huo kwa madai kwamba kuna baadhi ya taratibu hazijamilika

Share this:

 
Back To Top
Distributed By Rodrick Minja | Designed By Bill De Pierree